RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimwapisha Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma  Zanzibar, Dkt. Mohammed Sheikh Khatib, hafla hiyo imefanyika leo Ikulu Zanzibar,15-12-2018
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisaini Hati ya Kiapo ya Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar,Dkt. Mohammed Seif  Khatib baada ya kiapo, hafla hiyo imefanyika leo Ikulu Zanzibar.15-12-2018.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar,Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil, hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar leo,15-12-2018.
 RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi hati ya Kiapo Mjumbe Mpya wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil, hafla hiyo imefanyika Zanzibar leo,15-12-2018. 
 BAADHI YA Wakuu wa Wilaya na Viongozi wa SMZ wakihudhuria Hafla ya kuapishwa kwa Wajumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, iliofanyika Ikulu Zanzibar leo,15-12-2018.
 MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, akiwa na Viongozi wengine wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Wajumbe Wapya wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.leo 15-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, baada ya kuwaapiosha leo Ikulu Zanzibar,kulia Dkt. Mohammed Sheif Khatib na kushoto Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil.(Picha na Ikulu) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...