Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chamilla(kushoto)pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Paul Nchinika wakipokea  mmoja wa mfuko wa mbolea kati ya 140 ya Urea kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya GSM Tanzania Matina Nkurlu(kulia)
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chamilla(watatu kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini Paul Nchinika wakimshuhudia Maria Mwamulungu(kushoto) ambaye ni mmoja wa kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo akipokea moja ya mfuko kati ya 140 ya mbolea aina ya Urea kwa niaba ya wenzake kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu(kulia)
Wakina mama wanaounda vikundi vya kujishughulisha na kilimo mkoani Mbeya,Wakiimba nyimbo za furaha pamoja na  Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Tanzania,Matina Nkurlu(katikati) baada ya kukabidhiwa msaada wa mifuko ya mbolea 140 aina ya Urea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...