Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ngombo wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro  wakiwa katika Fibre  wakivuka mto  Mnyera, ambapo nauli ya kuvuka ni  ni shilingi 500 na pikipiki,shilingi 3000.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG) 
 Wananchi wa jiji cha Ngombo wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro wakipakiza pikipiki katika Fibra ilikuvuka mto Mnyera.ambapo pikipii moja wanalipa shilingi 3000.
Safari ya kuvuka mto Mnyera ukiendelea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...