Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha kutoka Tigo Hussein Sayed, akimuuliza swali mmoja wa mawakala walihudhuria hafla ya chakula cha jioni ambapo Tigo ilitangaza promosheni ya mwisho wa mwaka inayojulikana kama Wakala Chief itakayotoa zawadi ya mamilioni kwa mawakala watakaofanya vizuri katika biashara zao.
Meneja wa Tigo Pesa, James Sumari akizungumza na baadhi ya mawakala wa Tigo Pesa katika hafla iliyofanyika jijjini Dar es Salaam ambapo Tigo ilitangaza promosheni ya mwisho wa mwaka inayojulikana kama Wakala Chief itakayotoa zawadi ya mamilioni kwa mawakala watakaofanya vizuri katika biashara zao.
Baadhi ya Wakurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja na mawakala wa Tigo Pesa katika hafla ambapo Tigo ilitangaza promosheni ya mwisho wa mwaka kwa inayojulikana kama Wakala Chief itakayotoa zawadi ya mamilioni kwa mawakala watakaofanya vizuri katika biashara zao.
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha kutoka Tigo Hussein Sayed, akitoa zawadi ya kofia lwa mmoja wa mawakala wa Tigo Pesa aliyefanikiwa kujibu kwa usashi swali alilouliza kuhusu Tigo Pesa wakati wa hafla ya chakula cha jioni ambapo Tigo ilitangaza promosheni ya mwisho wa mwaka kwa inayojulikana kama Wakala Chief itakayotoa zawadi ya mamilioni kwa mawakala watakaofanya vizuri katika biashara zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...