Mkurugenzi wa Kijiji cha Matumaini, SR Maria Rosaria akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng ya dawa mbalimbali wanazotumia kwa ajili ya watoto hao wanaolelewa kwenye kijiji cha Matumaini mjini Dodoma kinachoendeshwa na masista wa Kanisa Katoliki, Shirika la Masista Waabuduo Damu ya Yesu alipotembelea kituoni hapo wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.
Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng akimkabidhi zawadi za ‘Pampers’ Mkurugenzi wa Kijiji cha Matumaini, SR Maria Rosaria alipotembelea kituo hicho kinachowalea watoto yatima wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mjini Dodoma.
Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng akimsalimia mmoja wa watoto yatima anayelelewa kwenye kijiji cha Matumaini mjini Dodoma kinachoendeshwa na masista wa Kanisa Katoliki, Shirika la Masista Waabuduo Damu ya Yesu alipotembelea kituoni hapo wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.
Mkurugenzi wa Kijiji cha Matumaini, SR Maria Rosaria akimtambulisha Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng kwa baadhi ya wafanyakazi wa kituo cha Afya cha kijiji cha Matumaini alipotembelea kituoni hapo kuwatia moyo wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.
Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng akisalimiana na Daktari wa zamu wa kituo cha Afya cha kijiji cha Matumaini, Dr. John Zephania alipotembelea kituo hicho kinacholea watoto yatima kinachoendeshwa na masista wa Kanisa Katoliki, Shirika la Masista Waabuduo Damu ya Yesu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mjini Dodoma.
Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng akimbariki mtoto yatima anayelelewa kwenye kijiji cha Matumaini mjini Dodoma kinachoendeshwa na masista wa Kanisa Katoliki, Shirika la Masista Waabuduo Damu ya Yesu alipotembelea kituoni hapo wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Amembatana na Mkurugenzi wa Kijiji cha Matumaini, SR Maria Rosaria.
Mkurugenzi Mkazi na Mwakilishi wa Shirika la Kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) nchini, Dk. Leo Zekeng akiwa amembeba mmoja wa watoto yatima anayelelewa kwenye kijiji cha Matumaini mjini Dodoma kinachoendeshwa na masista wa Kanisa Katoliki, Shirika la Masista Waabuduo Damu ya Yesu alipotembelea kituoni hapo wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mjini Dodoma.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...