KATIKA KUELEKEA MSIMU WA WAPENDANAO (VALENTINES), DUKA LAKO PENDWA LENYE "VIWALO" VIKALI TOKA MBELE LILILOPO PALE MIKOCHENI KARIBU KABISA NA KIOTA CHA ESCAPE ONE JIJINI DAR ES SALAAM  (J&M VIRGO), LIMESHUSHA MALI MPYA NA UKALI KWELI KWELI KWA KINA MAMA NA KINA BABA PIA.

HIVYO ILI KUTOKA KIPEKEE NA NA MAMSAP AU MZEE BABA FIKA DUKANI KWAO PALE KUJICHUKULIA PAMBA KALI, MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA PAMOJA NA MIKOBA.

KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LAO

KWA MAWASILIANO PIGA NAMBA HIYO

+255715534530





















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...