Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (mb) akisisitiza jambo wakati akitoa maelezo ya utangulizi kwa Kamati ya Kudumu ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika mji wa Ifakara kabla ya kuanza kutembelea maeneo ya mradi. Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Nape Nnauye (mb)
 Mratibu wa mradi wa kuwezesha Urasimishaji Ardhi (LTSP) Godfrey Machabe akitoa taarifa za mradi kwa Kamati ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.
 Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Nape Nnauye (mb) akiuliza jambo juu ya uandaaji wa ramani ya kijiji kutoka kwa afisa mipango miji wa wilaya ya Kilombero baada ya kamati hiyo kufika katika ofisi za LTSP.
 Kamati ikiwa katika ofisi ya afisa ardhi mteule wa wilaya ya Kilombero ambaye ndiye msajili wa hati za hakimiliki za kimila wakioneshwa jinsi hati hizo zinavyosajiliwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...