MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mabenki Tanzania (TIOB), Patrick Mususa(kulia), akizungumza wakati wa kumkaribisha Meneja wa Usimamizi wa Taasisi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania(BOT), Nassor Omar,kuzindua Kozi mpya ya Uchambuzi yakinifu kupitia viashiria hatarishi katika Mfumo wa Utoaji Mikopo(The basics of Credit Risk Modelling) kwa Wakurugenzi Wakuu wa Mabaenki na Taasisi za Fedha,uliofanyika Dar es Salaam, jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...