Mtayarishaji wa Mashindano ya upigaji picha kutoka World Press, Sophie Boshouwers akizumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam kabla ya kufunguliwa Maonesho ya Picha Duniani katika Ukumbi wa Aliance Francai's
Mkuu wa Idara ya Mission katika Ubalozi wa Falme za Uholanzi nchini,Lianne Houben akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Maonesho kwa siku ya wapiga picha za Habari Duniani yanayofanyika leo Aliance Francai's
Kaimu Mkurugenzi wa Chama Cha Waandishi wa Hbari Wanawake(TAMWA),Davis Lumala akiongelea ushiriki wa TAMWA katika Maonesho hayo kabambe
Mkurugenzi wa kituo cha Utamduni cha watu wa Ufaransa nchini Tanzania,Aliance Francais ,Frederic Tiberti akizungumza na Waandishi wa habari kuhusu kituo chake kujihusisha na Maonesho mbalimbali.
 Mtayarishaji wa Mashindano ya upigaji picha kutoka World Press, Sophie Boshouwers akitoa maelezo kwa moja ya waandishi wa Habari


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...