Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na kikosi Maalum cha kupambana na uhalifu katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia mkoani Ruvuma, baada ya kuwasili katika ziara yake ya kikazi. (Picha na Jeshi la Polisi) 
 Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas katikati kulia kwake ni Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna Msaidizi ACP Pili O. Mande na kushoto kwake ni Mkuu wa Kikosi cha kutuliza Ghasia Mkoa wa Ruvuma ACP Omar K. Omari wakiwa katika picha ya pamoja na kikosi maalum cha kupamban na uhalifu mkoani humo. 
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akishiliki mazoezi ya pamoja na kikosi maalum cha kupamba na uhalifu Mkoa wa Ruvuma baada ya kuwasili katika ziara yake ya siku moja mkoani humo. 
(Picha na Jeshi la Polisi) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...