Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu (kulia) akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke  (katikati) mapema leo akiwa  na ujumbe wake,  wakati alipomtembelea ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,Sarah Cooke  (katikati) akizungumza na  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(kulia) kuhusiana  na mikakati mbalimbali ya kukabailiana na tatizo la ujangili wa tembo nchini mapema leo  ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam
 Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke (kulia) akizungumza na  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(katikati)   mapema leo mara baada  ya kufanya  mazungumzo ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(katikati)  akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke (kulia) kabla ya kuagana naye wakati alipotembelewa ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA-MNRT)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...