Ni Basi ama Daladala lenye nama za usajili T587 DGK likiondolewa kwenye mtaro mara baada ya kupoteza muelekeo mapema leo asubuhi maenEo ya Hospitali ya Massana,Goba jijini Dar.Kwa mujibu wa Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa hakuna aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa,watu wote walitoka salama,aidha chanzo cha basi hilo kupoteza muelekeo hakikujulikana mara moja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...