NOTES ON FIXED ACCOUNT.

·        Pata punguzo na unufaike kwa kuwa mteja wa akaunti ya muda maaulum
·        Riba hadi asilimia 12 kwa mwaka kwa mteja mwenye amana ya kuanzia Milioni 5 kwa kipindi cha miaka miwili na kuendelea
·        Ni fursa nzuri kwa Mstaafu  anayepokea pensheni yake badala ya kununua gari alipendalo awekeze TPB Bank
·        Mtu yeyote anaweza akafungua akaunti hii na kuwekeza
·        Riba inalipwa kila baada ya mwezi, miezi mitatu mpaka sita kulingana na matakwa ya mteja.

GROUP ACCOUNT
Katika kutambua uwepo wa makundi mbali mbali ya watu, kujali mahitaji yao ya huduma za kifedha na adha wanazozipata katika kupata huduma za kibenki, TPB Bank ina akaunti maalum kwa vikundi.  Vikundi rasmi na visivyo rasmi.

Vikundi kama vile, vikundi vya wafanyakazi, vikundi vya ndugu, vilabu vya michezo mbali mbali, wasuka nywele, wasuka mikeka, wavuvi, mafundi seremala, vikundi vya kidini, vikundi vya sehemu ya kazi n.k.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...