Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha mjadala na wadau wa madini nchini  wakati wa  Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) Na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw. Abdulmajid  Nsekela akieleza mikakati ya umoja huo wakati wa Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019. 
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini (FEMATA) Bw. John Bina  akisoma risala yake katika Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wadau wa Madini baada ya kuhudhuria na kuhutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne JanuarI 22, 2019.
PICHA NA IKULU
  Mhe. Rais John Pombe Magufuli anawasikiliza baadhi ya wachimbaji wadogo wa madini wakitoa kero zao katika mkutano Mkuu wa kisekta  wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya Madini katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.
 Mhe. Rais John Pombe Magufuli anawasikiliza baadhi ya wachimbaji wadogo wa madini wakitoa kero zao katika mkutano Mkuu wa kisekta  wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya Madini katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.
 Baadhi ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.
 Baadhi ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.

 Rais wa shirikisho la vyama vya Wachimbaji wadogo wadogo wa madini (FEMATA) John Bina alipokuwa akisoma hotuba kuwakilisha wachimbaji wenzake katika Mkutano Mkuu wa kisekta jijini Dar es salam, Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere leo Januari 22, 2019.
Mmoja wa Baadhi ya wadau wa sekta ya madini  akizungumza changamoto wanazokumbana nazo,mbele ya Rais Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es salaam leo Januari 22, 2019.
 Baadhi ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.

  Baadhi ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019 wakifurahia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa ukumbini humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...