Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha mjadala na wadau wa madini nchini wakati wa Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019.
Mwenyekiti wa Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) Na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw. Abdulmajid Nsekela akieleza mikakati ya umoja huo wakati wa Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019.
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini (FEMATA) Bw. John Bina akisoma risala yake katika Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wadau wa Madini baada ya kuhudhuria na kuhutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne JanuarI 22, 2019.
PICHA NA IKULU
Mhe. Rais John Pombe Magufuli anawasikiliza baadhi ya wachimbaji
wadogo wa madini wakitoa kero zao katika mkutano Mkuu wa kisekta wa
wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya Madini katika ukumbi wa Mwalimu
J.K Nyerere jijini Dar es salaam 22, 2019.
Mhe.
Rais John Pombe Magufuli anawasikiliza baadhi ya wachimbaji wadogo wa
madini wakitoa kero zao katika mkutano Mkuu wa kisekta wa wachimbaji,
wafanyabiashara na wadau wa sekta ya Madini katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere
jijini Dar es salaam 22, 2019.
Baadhi
ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano
Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es
salaam 22, 2019.
Baadhi
ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano
Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es
salaam 22, 2019.
Rais
wa shirikisho la vyama vya Wachimbaji wadogo wadogo wa madini (FEMATA)
John Bina alipokuwa akisoma hotuba kuwakilisha wachimbaji wenzake katika
Mkutano Mkuu wa kisekta jijini Dar es salam, Mkutano huo unafanyika
katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere leo Januari 22, 2019.
Mmoja
wa Baadhi ya wadau wa sekta ya madini akizungumza changamoto
wanazokumbana nazo,mbele ya Rais Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano
Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es
salaam leo Januari 22, 2019.
Baadhi
ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano
Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es
salaam 22, 2019.
Baadhi
ya wadau wa sekta ya madini na wafanyabiashara waliohudhuria Mkutano
Mkuu wa kisekta katika ukumbi wa Mwakimu J.K. Nyerere jijini Dar es
salaam 22, 2019 wakifurahia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa ukumbini humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...