Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na viongozi mbalimbali akikata utepe kuashiria
kupokea ndege ya pili ya AIRBUS A220-300 iliyowasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Januari 11, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na
Uchukuzi Mhandisi Isaack Kamwelwe wakipewa maelezo na Rubani Patrick
kuhusu ndege ya pili ya AIRBUS A220-300 walipoipokea katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Januari
11, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipungia wananchi baada ya kupokea ndege ya pili ya AIRBUS A220-300
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Januari 11, 2019.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe Mama
Mary Majaliwa wakiwa na viongozi wengine mbalimbali wakishuka kutoka
katika ndege ya pili ya AIRBUS A220-300 ilipowasili na kupokelewa Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Januari 11, 2019.
Maafisa waliokwenda Canada kuipokea ndege ya pili ya AIRBUS A220-300
wakilakiwa kwa shangwe Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
jijini Dar es salaam leo Januari 11, 2019
Picha na IKULU
Ndege mpya ya kisasa aina ya Airbus 220-300 iliyopewa jina la moja ya hifadhi ya mbuga za wanyama (Ngorongoro), ikikaribishwa kwa water salute mara baada ya kutua leo 11 Januari 2019 katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Canada ilikotengenezwa.
Ndege mpya aina ya Airbus 220-300 ikiwasili kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mapema leo, ndege hiyo imepewa jina la moja ya hifadhi ya mbuga za wanyama Ngorongoro kama inavyoonekana kwenye picha.
Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) wakiwa wamesimama mbeleya ndege mpya aina ya Airbus 220-300 mara baada ya kuipokea leo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ndege hiyo ni ya kwanza kununuliwa na serikali ya Afrika (Tanzania).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi wa ndege mpya aina ya Airbus 220-300 mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Ally Bashiru, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa na Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O’Donnel ,na Kulia ni Mkrugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Suleiman Kakoso na Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa mara baadya ya kuzindua ndege mpya aina ya Airbus 220-300 iliyowasiri leo 11 Januari, 2019 kulia ni , Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Suleiman Kakoso na Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson na Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O’Donnel
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na ,
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi mara baada ya mapokezi ya Ndege mpya
aina ya Airbus 220-300 iliyopokelewa uwanja wa Kimataifa Julius Nyerere leo 11
Januari 2019.
Ndege mpya ya kisasa aina ya Airbus 220-300 iliyopewa jina la moja ya hifadhi ya mbuga za wanyama (Ngorongoro), ikikaribishwa kwa water salute mara baada ya kutua leo 11 Januari 2019 katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Canada ilikotengenezwa.
Ndege mpya aina ya Airbus 220-300 ikiwasili kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mapema leo, ndege hiyo imepewa jina la moja ya hifadhi ya mbuga za wanyama Ngorongoro kama inavyoonekana kwenye picha.
Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) wakiwa wamesimama mbeleya ndege mpya aina ya Airbus 220-300 mara baada ya kuipokea leo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ndege hiyo ni ya kwanza kununuliwa na serikali ya Afrika (Tanzania).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi wa ndege mpya aina ya Airbus 220-300 mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Ally Bashiru, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa na Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O’Donnel ,na Kulia ni Mkrugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Suleiman Kakoso na Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa mara baadya ya kuzindua ndege mpya aina ya Airbus 220-300 iliyowasiri leo 11 Januari, 2019 kulia ni , Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Suleiman Kakoso na Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson na Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O’Donnel
(Picha
na Paschal Dotto-MAELEZO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...