. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Cho Tae-ick .Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 16, 2019.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Cho Tae-ick mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Cho Tae-ick mara baada ya kupokea Hati zake za Utambuliso Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Cho Tae-ick mara baada ya kupokea Hati zake za Utambuliso Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Malawi hapa nchini Mhe. Glad Chembe Munthali Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Malawi hapa nchini Mhe. Glad Chembe Munthali  mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Malawi hapa nchini Mhe. Glad Chembe Munthali  mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na  Balozi mteule wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil hapa nchini Mhe. Antonio Augusto Martin Cesar kabla  ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil hapa nchini Mhe. Antonio Augusto Martin Cesar. Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil hapa nchini Mhe. Antonio Augusto Martin Cesar mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho. Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil hapa nchini Mhe. Antonio Augusto Martin Cesar mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho. Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019. 
 Balozi Mteule wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Cho Tae-ick akiandika katika kitabu cha wageni kabla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 16, 2019.
  Balozi Mteule wa Malawi hapa nchini Mhe. Glad Chembe Munthali  akiandika katika kitabu cha wageni kabla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.
 Balozi Mteule wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil hapa nchini Mhe. Antonio Augusto Martin Cesar akiandika katika kitabu cha wageni kabla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 16, 2019.

PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...