RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa
Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman Abdallah, alipowasili katika
Uwanja wa Ndege wa Karume Kisiwani Pemba,kwa ajili ya kuhudhuria
Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
zinazotarajiwa kufanyika kesho Januari 12/2019, katika Uwanja wa Ngombani
Pemba.(Pichja na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na Mkuu wa
Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman Abdallah, baada ya kuwasili
Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake Kisiwani Pemba, akielekea katika
chumba cha VIP.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na
Viongozi wa Serikali na Chama waliopfika kumpokea katika Uwanja wa Ndege
wa Karume Chakechake Kisiwani Pemba, baada ya kuwasili kisiwani humo
kuhudhuria Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya
Zanzibar,(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na
Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Kisiwani Pemba, baafda ya
kuwasili Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake Kisiwani Pemba.(Picha na
Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...