Waziri Mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewataka baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Iringa kufika ofisini kwake DODOMA tarehe 7 mwezi huu kumweleza sababu za kuzuia nguzo za umeme kusafirishwa.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa agizo hilo kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Nyoni Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma.
Home
MICHUZI TV
RC IRINGA NA WENZIYE WARIPOTI OFISINI KWANGU DODOMA TAREHE 7 SAA 5 ASUBUHI -WAZIRI MKUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...