Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme akiwa anaendelea na kampeni yake ya KATA FUNUA inayohusu wazazi wasiopeleka watoto shule kuchukuliwa hatua, Akiwa katika kikao cha kuratibu mpango wa kunusuru mkoa wa Ruvuma na tatizo la mimba za utotoni unaojulikana kwa jina la Adolesence Three Sixty uliofanyika January 17 mwaka huu mjini Songea mkoani Ruvuma , amesema tatizo la mimba mkoani humo ni kubwa ambapo kitaifa Ruvuma inashika nafasi ya tatu kwa kuwa na mimba za utotoni kwa asilimia 32.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...