Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu akimkabidhi Afisa Elimu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mwisungi Kigosi (wapili kulia) na Mkuu wa shule ya Msingi Mwanga, Rajabi Bakari (Kulia), moja kati ya kompyuta 30 zilizotolewa na kampuni ya Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom, Jacquiline Materu akitoa mkono wa shukrani na Afisa Elimu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mwisungi Kigosi (katikati) na Mkuu wa shule ya Msingi Mbwanga, Rajab Bakari, kwa msaada wao, katika hafla ya kukabidhi kompyuta 30 zilizotolewa na Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...