Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wapenzi wa mpira wa miguu alipofika kushuhudia Mechi kati ya Simba SC na JS Saoura ya Algeria, kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Januari 12, 2019. Katika mechi hiyo Timu ya Simba ilishinda goli 3-0 dhidi ya JS Saoura.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia goli la pili la Simba, wakati akiangalia Mechi kati ya Simba SC na JS Saoura ya Algeria kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Januari 12, 2019. Timu ya Simba iliibuka mshindi wa goli 3-0 dhidi ya JS Saoura.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kushuhudia Mechi kati ya Simba SC na JS Saoura ya Algeria, Januari 12, 2019. Timu ya Simba iliibuka mshindi wa goli 3-0 dhidi ya JS Saoura. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia Mechi kati ya Simba SC na JS Saoura ya Algeria kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Januari 12, 2019. Timu ya Simba iliibuka mshindi wa goli 3-0 dhidi ya JS Saoura.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge Tulia Ackson, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kushuhudia Mechi kati ya Simba SC na JS Saoura ya Algeria, Januari 12, 2019. Timu ya Simba iliibuka mshindi wa goli 3-0 dhidi ya JS Saoura. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...