Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro bwana Clifford Tandari akizungumza na washiriki wa mafunzo ya marekebisho ya sheria ya ununuzi wa umma na mfumo wa utoaji taarifa za manunuzi (PMIS) wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo mjini Morogoro.
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya marekebisho ya sheria ya ununuzi wa umma na mfumo wa utoaji taarifa za manunuzi (PMIS) wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro bwana Clifford Tandari wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo mjini Morogoro.
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya marekebisho ya sheria ya ununuzi wa umma na mfumo wa utoaji taarifa za manunuzi (PMIS) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro bwana Clifford Tandari mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo mjini Morogoro.
Afisa Ugavi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Chunya Bi Salome Peter Lyimo akielezea matarajio yake kabla ya kupata mafunzo ya sheria za manunuzi na namna mfumo wa utoaji taarifa za manunuzi utakavyomsaidia katika utendaji wake wa kazi mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo mjini Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...