Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania CDF, Venance Mabeyo, amewasili Mkoa wa Njombe na kupokelewa na  Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo kwa lengo la kujua nini chanzo cha matukio ya mauaji ya watoto yaliotokea siku za hivi karibuni. (Picha na Jeshi la Polisi).     
 Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania CDF Venance Mabeyo, akiteta jambo na Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo. (Picha na Jeshi la Polisi).    
Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania CDF Venance Mabeyo, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Njombe na kushoto kwake ni  Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas. (Picha na Jeshi la Polisi).     

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...