RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza wakati wa mkutano wake wa Majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Kaskazini B, Unguja, yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Sea Cliff Kama Wilaya ya Kaskazini B, Unguja leo 18-2-2019.(Picha na Ikulu)
 BAADHI ya Wanachama  wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini B, Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa mkutano wa Majumuisho ya ziara yake Wilaya ya Kaskazini B, Unguja, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdallah Juma Mabodi, akizungumza wakati wa mkutano wa Majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Sheid, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja leo, yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Cliff Kama.(Picha na Ikulu)
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kheri, akizungumza wakati wa mkutano wa Majumuisho ya Ziuara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika Wilaya ya Kaskazini B, Unguja leo, yaliofanytika katika ukumbi wa Hotewli ya Sea Cliff Kama
MBUNGE Mstaafu wa Jimbo la Donge Ali Ameir Mohammed akiwa na Viongozi wa Serikali na Chama wakati wa mkutano wa Majumuisho ya  ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,katika Wilaya ya Kaskazini B Unguja,yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Sea Cliff.(Picha na Ikulu) 
MKUU wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ndg. Rajab .Ali.Rajab, akiwasilisha Taarifa ya utekelezaji ya Wilaya yake wakati wa Majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Sheini, baada ya kumaliza ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa wa Kaskazini Unguja, hafla hiyo imefanytika katika ukumbi wa haoteli ya Sea Cliff.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kheri, MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kushoto Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,Dr. Abdallah Juma Mabodi, wakifuatilia ripoti ya utewkelezaji wa Wilaya ya Kaskaziniu B Unguja, ikiwasilishwa nac Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B,Unguja Ndg. Rajab Ali Rajab. wakati wa mkutano wa Majumuisho ya ziara yake.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibare na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mbunge Mstaaf wa Jimbo la Donge Mkoa wa Kaskaszini Unguja. Mzee Ali Ameir Mohammed, baada ya kumalizika kwa mkutano wa Majumbisho ya Ziara yake Wilaya ya Kaskazini B, Unguja baada ya kumalizika hafla hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Sea Cliff Kama Unguja.(Picha na Ikulu) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...