Mafundi wa kampuni ya Kika Constractions co. LTD ya jijini Dar es Salaam, wakiendelea na ujenzi wa daraja la mto Mbezi litakalo waunganisha wakazi wa Salasala Wilaya ya Kinondoni na wakazi wa Kinzudi wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Likiwa katika hatua kuelekea kukamilika wakazi wa maeneo hayo wamekuwa wakipata shida ya usafiri wakati wa kipindi cha masika kiasi cha kuwafanya wanafunzi kukosa kwenda shule. (Picha na Albart Jackson)
Ujenzi wa daraja hilo ukiendelea



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...