Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania, Bi. Harriet Lwakatare akizungumza na wanahabari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'NAWEZA NA VODACOM' inayowaelimisha wateja wake njia mbali mbali za kidijitali za kujihudumia na kutatua matatizo kwa haraka leo makao makuu ya kampuni hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi. Rosalynn Mworia.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania, Bi. Harriet Lwakatare akizungumza na wanahabari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'NAWEZA NA VODACOM' inayoelimisha wateja njia mbali mbali za kidijitali za kujihudumia na kutatua matatizo kwa haraka iliyofanyika leo makao makuu ya kampuni hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi. Rosalynn Mworia na Mkuu wa Idara ya ufanisi kwa Wateja, Bi. Najenjwa Mbagga. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...