Mkurugenzi
wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania, Bi. Harriet Lwakatare
akizungumza na wanahabari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'NAWEZA NA
VODACOM' inayowaelimisha wateja wake njia mbali mbali za kidijitali za
kujihudumia na kutatua matatizo kwa haraka leo makao makuu ya kampuni
hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na mawasiliano wa Vodacom Tanzania
Bi. Rosalynn Mworia.
Mkurugenzi
wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania, Bi. Harriet Lwakatare
akizungumza na wanahabari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'NAWEZA NA
VODACOM' inayoelimisha wateja njia mbali mbali za kidijitali za
kujihudumia na kutatua matatizo kwa haraka iliyofanyika leo makao makuu
ya kampuni hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na mawasiliano wa
Vodacom Tanzania Bi. Rosalynn Mworia na Mkuu wa Idara ya ufanisi kwa
Wateja, Bi. Najenjwa Mbagga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...