Na Andrew Chale
Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwemo Mawaziri pamoja na viongozi wengine wamejitokeza kuhani msiba wa mtoto wa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia Mbunge wa Nzega Vijijini Dk.Hamisi Andrea Kigwangalla marehemu Zulqarinain aliyefariki jana February 21,2019 majira ya Saa nne asubuhi JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI.
Viongozi hao pamoja na ndugu na jamaa na marafiki wamejumuika kwa pamoja nyumbani kwake Mikocheni A katika Kota za Mawaziri jirani na kituo cha mafuta cha Victoria.
Baadhi ya viongozi hao akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Paramagamba Kabudi,Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu,Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga
Wengine ni Naibu Waziri wa Afya Dk Faustine Ndugulile, Naibu waziri mambo ya ndani Masauni, Naibu Waziri Madini, Naibu Waziri mambo ya Nje na wengine wengineo.
Pia wengine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda pamoja na wengine wakiwemo Wabunge, ndugu jamaa na Marafiki.
Awali Msemaji wa Familia Bwana Lumola alieleza kuwa mwili utasafirishwa 22 Februari kwa ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.
#R.I.P. Zul.
Inna lillahi wainna illaihi rajiuun
Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwemo Mawaziri pamoja na viongozi wengine wamejitokeza kuhani msiba wa mtoto wa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia Mbunge wa Nzega Vijijini Dk.Hamisi Andrea Kigwangalla marehemu Zulqarinain aliyefariki jana February 21,2019 majira ya Saa nne asubuhi JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI.
Viongozi hao pamoja na ndugu na jamaa na marafiki wamejumuika kwa pamoja nyumbani kwake Mikocheni A katika Kota za Mawaziri jirani na kituo cha mafuta cha Victoria.
Baadhi ya viongozi hao akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Paramagamba Kabudi,Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu,Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga
Wengine ni Naibu Waziri wa Afya Dk Faustine Ndugulile, Naibu waziri mambo ya ndani Masauni, Naibu Waziri Madini, Naibu Waziri mambo ya Nje na wengine wengineo.
Pia wengine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda pamoja na wengine wakiwemo Wabunge, ndugu jamaa na Marafiki.
Awali Msemaji wa Familia Bwana Lumola alieleza kuwa mwili utasafirishwa 22 Februari kwa ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.
#R.I.P. Zul.
Inna lillahi wainna illaihi rajiuun
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...