Kaimu Balozi wa Marekani Dkt. Inmi Patterson alipotembelea mkoani Mara leo (Februari 11). Katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mh. Vincent Anny Naanu (kulia), Bi. Karolina Mpapula, Katibu Tawala mkoa wa Mara (wa pili Kulia), na Bw. Emmanuel Kisongo (kushoto) Afisa Elimu Mkoa wa Mara.

Kaimu Balozi wa Marekani Dkt. Inmi Patterson akifurahi pamoja na walimu na wazazi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya Sekondari ya Mwisenge iliyopo mkoani Mara leo (Februari 11). Katika Ziara yake mkoani humo, Kaimu Balozi Dkt. Patterson pia anatembelea miradi mbalimbali iliyopo eneo la Ziwa Victoria inayofadhiliwa na serikali ya Marekani. (Picha: Ubalozi wa Marekani)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...