Meneja Mikopo kwa Wajasiriamali Wanawake wa Benki ya CRDB, Rehema Shambwe, akitoa mada katika kongamano la wanawake jijini Dar es Salaam, kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo ikiwemo ‘Malkia Account’ wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Kongamano hilo limefanyika chini ya uratibu wa Chama cha Wahandisi Wanawake. 
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa, akipata maelezo alipotembelea banda la Benki ya CRDB katika kongamano la wanawake jijini Dar es Salaam, wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. 
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa, akipata maelezo alipotembelea banda la Benki ya CRDB katika kongamano la wanawake jijini Dar es Salaam, wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa, akiagana na Meneja Mikopo kwa Wajasiriamali Wanawake wa Benki ya CRDB, Rehema Shambwe.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa, akiagana na Ofisa wa Benki ya CRDB anayehudumia wateja Wadogo na wa Kati katika tawi la Pugu Road, Amir Konji.
Ofisa wa Benki ya CRDB anayehudumia wateja wadogo na wa Kati, Amir Konji (kushoto), akitoa maelezo kwa mmjoa wa wateja waliofika katika banda lao.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa (katikati) akiwa katika picha ya pamoja.
Meneja Maendeleo ya Biashara Benki ya CRDB tawi la Pugu Road, Rehema Njavike, akitoa maelezo kwa mteja aliyefika katika banda lao.
Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB tawi la Pugu Road, Neema Daniel, akimkabidhi kadi mteja.
Baadhi ya maofisa wa benki ya CRDB wakiwa katika kongamano la wanawake.
Wafanyakazi wakilishwa keki.
Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Farida Nassoro, akilishwa keki na Meneja wa tawi hilo, Clementina Kinabo. 
Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo, akimlisha keki mmoja wa wateja wa benki hiyo, Leticia Mbunda, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika katika tawi hilo jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.

Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center Farida Nassoro akikata keki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo benki hiyo ilisherehekea na wateja wake. 
Mteja wa Benki ya CRDB ambaye ni mmiliki wa Farida Hardware, Farida Nassoro, akijiandaa kukata keki. 
Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo, akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo, wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika katika tawi hilo jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center wakiwa katika picha pamoja. Katikati ni Meneja wa tawi hjilo, Clementina Kinabo. 

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center wakiwa katika picha ya pamoja. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...