Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez kwa K.O, Raundi ya 5 katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya usiku huu.
Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo(kushoto) akimrushia konde Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez(kulia) katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya
Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez akiwa cchini mara baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo
kwa K.O, Raundi ya 5 katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya.
kwa K.O, Raundi ya 5 katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...