Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez kwa K.O, Raundi ya 5 katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya usiku huu.

 Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo(kushoto) akimrushia konde Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez(kulia)  katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya
Bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez  akiwa cchini mara baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo
kwa K.O, Raundi ya 5 katika pambano la Nairobi Night Fight lililofanyika nchini Kenya.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...