Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini Bw.Biswalo Mganga akisikiliza maswali kutoka kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari juu ya malalamiko ya Musa Adam Sadiki ya kubambikiziwa kesi ya mauaji katika mahakama ya Tabora. Kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw.Edson Makallo na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari-MAELEZO Bi.Zamaradi Kawawa.

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini Bw.Biswalo Mganga akisoma moja ya nakala ya mashtaka wakati akizungumzia malalamiko ya Musa Adam Sadiki ya kubambikiziwa kesi ya mauaji katika mahakama ya Tabora. Kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw.Edson Makallo na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari-MAELEZO Bi.Zamaradi Kawawa. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini Bw.Biswalo Mganga akizungumza na waandishi wa habari juu ya malalamiko ya Musa Adam Sadiki ya kubambikiziwa kesi ya mauaji katika mahakama ya Tabora.Kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw.Edson Makallo na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari-MAELEZO Bi.Zamaradi Kawawa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...