Meneja wa Kituo Cha Radio Cha Efm, Dennis Busolwa(Sebo), Akitangaza Majina ya Washindi wa shindano la shika ndiga lililozinduliwa katika Viwanja vya Temeke Mwembe Yanga Jijini Dar es Salaam, ambapo Sebo alitumia muda huo kuwashukuru wasikilizaji wa Efm Kanda ya Pwani na Dar es Salaam
Meneja huduma za Bima Kutoka Benki ya NBC, Benjamini Nkaka, akikabidhi kadi ya gari kwa Mshindi wa shika ndinga upande wa Wanawake.
Meneja Huduma za Bima Kutoka Benki ya NBC, Benjamini Nkaka, akikabidhi kadi ya gari kwa Mshindi wa shika ndinga upande wa Wanaume, Masudi Said
Baadhi ya Washiriki wa Shindano la Shika Ndinga wakiwa wameshikilia gari hilo kuelekea hatua ya fainali
Msanii wa Muziki wa Singeli Maarufu kwa jina la Mzee wa Bwax akitoa Burudani kwa wakazi wa Temeke Mwembe Yanga Jijini Dar es Salaam
baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Temeke waliofika kushuhudia ufunguzi wa pazia la shindano la shika ndinga kwa Wilaya ya Temeke.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...