Muhimu kufahamu kwamba adhabu na faini ya kugonga wanyamapori hifadhini
1: Tembo = USD 15,000 au shilingi Milioni 34.6
2: Twiga = USD 15,000 au shilingi Milioni 34.6
3: Simba = USD 4,900 au shilingi Milioni 11.3
4: Chui = USD 3,500 au shilingi Milioni 8
5: Nyati =USD 1900 sawa na shilingi milioni 4.2
6 :Pundamilia = USD 1200 au shilingi milioni 2.7
7: Fisi = USD 550 au shilingi milioni 1.2
8: Ngiri = USD 450 au shilingi milioni 1
9: Swala = USD 390 au shilingi Laki 9
10: Nyani = USD 110 au shilingi Laki 254
11: Ukipata ajali hifadhini shilingi 200,000 na ukizidisha mwendo faini yake shilingi 30,000
Ni muhimu kuwa na tahadhari pindi uingiapo au upitapo kwenye maeneo ya hifadhi, Day speed ni 70km/h na night speed ni 50km/h.
Kuwa makini, chukua tahadhari
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...