Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Naghenjwa Kaboyoka akiwaongoza Wajumbe wa Kamati hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. Kushoto ni Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Felister Bura. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesbu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Naghenjwa Kaboyoka wakisikiliza maelezo ya mbunifu wa majengo kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Ndg Hamis Kileo walipokuwa wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...