Dereva wa daladala akipata chakula cha mchana huku akiendelea kusuburi abiria wajae  katika  kituo cha mabasi makumbusho kilichopo wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
Mpiga debe akipata chakula cha mchana  huku akiendelea na kazi kama alivyo naswa na kamera yetu katika  kituo cha mabasi leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...