Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Fainali za AFCON U-17 Bw.Leodigar C.Tenga akiongoza Kikao cha Maandalizi ya Fainali hizo leo Jijini Dar es Salaam zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini kuanzia Aprili 14 – 28 2019 ambapo timu ya Serengeti Boys itashiriki.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia Kikao cha Maandalizi ya Fainali za AFON U-17.kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Fainal hizo  Bw.Leodigar C.Tenga hizo leo Jijini Dar es Salaam zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini kuanzia Aprili 14 – 28 2019 ambapo timu ya Serengeti Boys itashiriki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...