Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tayari amewasili kwenye Kongamano la Kumpongeza Dkt. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar katika uwanja wa Hoteli ya Verde, leo tarehe 16 Machi, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Taifa, Gaudencia Kabaka ,wakati akiwasili kwenye Kongamano la Kumpongeza Dkt. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar katika uwanja wa Hoteli ya Verde, leo tarehe 16 Machi, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...