Mhe. Balozi Makila James, Naibu Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayesimamia masuala ya Afrika Mashariki na Sudan alimtembelea Mhe. Balozi Wilson Masilingi na kufanya mazungumzo kuhusu kuendeleza kuimarisha mahusiano kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi rafiki ya Marekani.
 
Mhe. Wilson Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani na Mexico akiwa na Mhe. Balozi Makila James, Naibu Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayesimamia masuala ya Afrika Mashariki na Sudan.
Mhe. Wilson Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani na Mexico akiwa na Mhe. Balozi Makila James (Deputy Assistant Secretary of State for East Africa and the Sudans) na Bw. Michael Fraser Msaidizi wake, katika picha ya pamoja na maafisa wa Ubalozi Bw. Dismas Assenga, Brigedia Jenerali Adolph Mutta, Bi. Swahiba Mndeme, Bi. Jean Msabila na Bw. Mugendi Zoka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...