Mkulima wa mananasi mwenye maskani yake, Bagamoyo, mkoani Pwani, Ambari Zuberi Kingwamba, amekabidhiwa fedha zake alizoshinda kutoka Biko, bahati nasibu ya Watanzania inayotoa ushindi mkubwa, ambapo alinyakua sh milioni tano kutoka kwenye bahati nasibu hiyo ya aina yake. Kulia ni Mratibu Msaidizi wa Biko, Hassan Ahmed. P
 Mshindi wa sh milioni tano kutoka kwa waendeshaji wa mchezo wa kubahatisha wa Biko, Ambari Zuberi Kingwamba wa Bagamoyo mkoani Pwani, anayejihusisha na ukulima wa mananasi, amekabidhiwa fedha zake leo tayari kwa kuziingiza kwenye matumizi yake ya kila siku ili kuinua uchumi wake. Picha na Mpigapicha Wetu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...