Mkulima wa mananasi mwenye maskani yake, Bagamoyo,
mkoani Pwani, Ambari Zuberi Kingwamba, amekabidhiwa fedha zake
alizoshinda kutoka Biko, bahati nasibu ya Watanzania inayotoa ushindi
mkubwa, ambapo alinyakua sh milioni tano kutoka kwenye bahati nasibu
hiyo ya aina yake. Kulia ni Mratibu Msaidizi wa Biko, Hassan Ahmed.
P
Mshindi wa sh milioni tano kutoka kwa waendeshaji wa
mchezo wa kubahatisha wa Biko, Ambari Zuberi Kingwamba wa Bagamoyo
mkoani Pwani, anayejihusisha na ukulima wa mananasi, amekabidhiwa fedha
zake leo tayari kwa kuziingiza kwenye matumizi yake ya kila siku ili
kuinua uchumi wake. Picha na Mpigapicha Wetu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...