Mfanyabiashara mwenye maskani yake Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam anayeitwa Ramadhan Kitwemu, amekabidhiwa fedha zake sh milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko inayotoa mamilioni na bodaboda kwa Watanzania kila siku, ambapo droo kubwa hufanyika kila Jumatano na Jumapili kwa kucheza sh 500 na sh 1000, huku namba ya Kampuni ni 505050 na kumbukumbu namba ni 2456.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...