Mfanyabiashara mwenye maskani yake Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam anayeitwa Ramadhan Kitwemu, amekabidhiwa fedha zake sh milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko inayotoa mamilioni na bodaboda kwa Watanzania kila siku, ambapo droo kubwa hufanyika kila Jumatano na Jumapili kwa kucheza sh 500 na sh 1000, huku namba ya Kampuni ni 505050 na kumbukumbu namba ni 2456.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...