Antu mandoza,Binti wa makamo hivi,anaejishughulisha na Ujasiliamali, muigizaji kutoka Tanzania ambae alionekana kwa mara ya kwanza katika filamu ya Kiumeni 2017 ,amepata 'shavu' la kucheza tamthilia moja na mkali kutoka Nigeria Ramsey Noah, katika tamthilia hiyo itaongozwa na Mwigazi Mkongwe Desmond Eliot inayorekodiwa hivi sasa nchini Ghana ,Desmond Eliot kwa sasa pia anafanya vyema kwenye duru la siasa Nchini Nigeria. Tamthilia hiyo inategemewa kurushwa Africa Magic na ving'amuzi vingine vya Africa kuanzia April,2019 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...