Antu mandoza,Binti wa makamo hivi,anaejishughulisha na Ujasiliamali, muigizaji kutoka Tanzania ambae alionekana kwa mara ya kwanza katika filamu ya Kiumeni 2017 ,amepata 'shavu' la kucheza tamthilia moja na mkali kutoka Nigeria Ramsey Noah, katika tamthilia hiyo itaongozwa na Mwigazi Mkongwe Desmond Eliot inayorekodiwa hivi sasa nchini Ghana ,Desmond Eliot kwa sasa pia anafanya vyema kwenye duru la siasa Nchini Nigeria. Tamthilia hiyo inategemewa kurushwa Africa Magic na ving'amuzi vingine vya Africa kuanzia April,2019
Home
BURUDANI
HABARI
TAARIFA
MTANZANIA ANTU MANDOZA KUIGIZA FILAMU YA PAMOJA NA NYOTA WA FILAMU WA NIGERIA,RAMSEY NOAH NCHINI GHANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...