Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Saduni Rashid (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
1049890
Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Said Masoud (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
1049892
Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Wilhad Shirima (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola. 
1049893
Washidi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ wakionyesha zawadi za TV walizojishindia wakati wa hafla ya kuwakabidhi zawadi hizo jana jijini Mwanza. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
1049894
Washidi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ wakionyesha zawadi za TV walizojishindia wakati wa hafla ya kuwakabidhi zawadi hizo jana jijini Mwanza. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola. Pamoja nao ni wafanyakazi wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (wa pili kushoto) na Deus Kadiko (kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...