Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa (Mb) akiongea katika Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Maji jijini Dodoma. Waziri Mbarawa amewataka wafanyakazi kuongeza kasi, ubunifu na ufuatiliaji wa kazi mbalimbali katika sekta ya maji. Kulia ni Katibu Mkuu Prof. Kitila Mkumbo
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akiongea katika Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Maji. Prof. Kitila amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Wafanyakazi katika mipango kwani wao ndio watekelezaji wakuu. Baraza hilo limefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Maji jijini Dodoma.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Maji waliohudhuria Baraza la
Wafanyakazi wakiwasikiliza viongozi wa wizara wakati wa kikao cha
Baraza kilichofanyika jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...