Ndugu zetu Wapendwa,

Familia ya Kileo & Kimei Tunawashukuru Sana kwa upendo mliotupa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Mama yetu Mpendwa Mh. Mrs. Venus B. Kimei-Kileo. Mmetufariji, mmetujali, mmetuongoza, mmetupa moyo kwa ujumla tumeuona Upendo wa kweli na tumepata faraja sana. Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yenu.

Tunaomba muendelee kuwa nasi tunapoenda kutoa sadaka ya shukrani Jumapili 17 Machi, 2019 saa 4:00 asubuhi katika kanisa la KKKT Msasani. Mara baada ya Ibada tutashiriki Chakula cha Mchana saa 7 mchana Nyumbani Mikocheni B.

Karibuni mshiriki nasi, 

E.S Kileo - Mwenyekiti 
Asanteni Sana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...