Ndugu zetu Wapendwa,
Familia ya Kileo & Kimei Tunawashukuru Sana kwa upendo mliotupa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Mama yetu Mpendwa Mh. Mrs. Venus B. Kimei-Kileo. Mmetufariji, mmetujali, mmetuongoza, mmetupa moyo kwa ujumla tumeuona Upendo wa kweli na tumepata faraja sana. Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yenu.
Tunaomba muendelee kuwa nasi tunapoenda kutoa sadaka ya shukrani Jumapili 17 Machi, 2019 saa 4:00 asubuhi katika kanisa la KKKT Msasani. Mara baada ya Ibada tutashiriki Chakula cha Mchana saa 7 mchana Nyumbani Mikocheni B.
Karibuni mshiriki nasi,
E.S Kileo - Mwenyekiti
Asanteni Sana
Familia ya Kileo & Kimei Tunawashukuru Sana kwa upendo mliotupa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Mama yetu Mpendwa Mh. Mrs. Venus B. Kimei-Kileo. Mmetufariji, mmetujali, mmetuongoza, mmetupa moyo kwa ujumla tumeuona Upendo wa kweli na tumepata faraja sana. Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili yenu.
Tunaomba muendelee kuwa nasi tunapoenda kutoa sadaka ya shukrani Jumapili 17 Machi, 2019 saa 4:00 asubuhi katika kanisa la KKKT Msasani. Mara baada ya Ibada tutashiriki Chakula cha Mchana saa 7 mchana Nyumbani Mikocheni B.
Karibuni mshiriki nasi,
E.S Kileo - Mwenyekiti
Asanteni Sana
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...