Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
V25A2813
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
V25A2867
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
V25A2901
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (kulia) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo na Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbe.
V25A2877
pika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ulioongozwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) walipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo 
V25A2750
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimkaribisha Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...