Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof.
Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019
Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa
Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya
Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania
Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof.
Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019
Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa
Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya
Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania
Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019
Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof.
Florens Luoga (kulia) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini
kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Benki
Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo na Meneja Uhusiano
na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbe.
pika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Benki Kuu ya
Tanzania (BOT) ulioongozwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT),
Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) walipomtembelea leo tarehe 22
Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa
Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya
Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa
Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akimkaribisha Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof.
Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake
Bungeni Jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...