Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” inatarajia kuingia kambini Machi 21,2019 kujiandaa na mchezo wa kufuzu Olympic dhidi ya DR Congo.

Mchezo wa kwanza utachezwa Aprili 5,2019 Nyumbani kabla ya kurudiana Aprili 9,2019 ugenini DR Congo.

Kocha Mkuu wa kikosi hicho Bakar Shime ametaja kikosi cha wachezaji 27 watakaoingia kambini kujiandaa na mchezo huo.

Kikosi kilichotajwa :

1.Fatuma Omar Jawadu(JKT Queens) 
2.Najiath Abbas Idrissa(JKT Queens)
3. Gelwa Lugomba Yona( Kigoma Sisters) 
4.Wema Richard Maile(Mlandizi Queens) 
5.Maimuna Hamis Kaimu(JKT Queens)
6. Enekia Yona Kasonga(Alliance Queens)
7. Fatuma Issa Maonyo(Evergreen)
8. Fatuma Khatibu Salumu(JKT Queens)
9. Happyness Hezron Mwaipaja(JKT Queens)
10. Stumai Abdallah Athumani(JKT Queens)
11. Anastazia Antony Katunzi.(JKT Queens) 
12. Fatuma Bushir Makusanya(JKT Queens) )
13. Zena khamis Rashid(JKT Queens) 
14. Grace Tony Mbelay (Yanga Princess) 
15. Mwanahamis Omari Shurua (Simba Queens) 
16. Donisia Daniel Minja(JKT Queens) 
17. Asha Shaban Hamza(Kigoma Sisters) 
18. Asha Rashid Sada(JKT Queens) 
19. Amina  Ally Bilali( Simba Queens) 
20. Irene Elias Kisisa( Kigoma Sisters) 
21. Fatuma Mustapha Swalehe (JKT Queens) 
22. Dotto evalist Tossy (Simba Queens) 
23. Aisha khamis Masaka (Alliance Queens) 
24. Ester Mabanza Gindlya (Alliance Queens)
25. Tausi Abdalah Salehe (Mlandizi Queens) 
26. Niwael khalfan Makuruta (Marsh academy)
27.Amina Abdallah (Simba)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...