Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto) akizungumza katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yake, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu, na kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhan Kailima. 
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto meza kuu) akizungumza na Wakuu wa Idara wa Wizara yake katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hiyo, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola (kushoto meza kuu) akizungumza na Wakuu wa Idara wa Wizara yake katika Kikao cha kupitia Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hiyo, ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...