Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na dada yake, Fatma Majaliwa kijijini
kwake Nandagala Machi 15.2019,
kushoto ni mtoto wa dada yake Hidaya Rashid.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na vijana waendesha bodaboda kijijini
Nandagala wilayani Ruangwa Machi 15.2019.
aziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi bakora mwanakijijini wa Nandagala
Mzee Khamis Kandege Machi 15.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kisima cha maji safi, katika
kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa Machi 15.2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwashukuru Halima Athumani (kulia) na Zuena
Bakari (katikati) kwa zawadi ya
mahindi, katika kijiji cha Nandagala Wilayani Ruangwa Machi
15.2019
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia watoto, katika kijiji cha
Nandagala wilayani Ruangwa Machi 15.2019
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na vijana kijijini kwake Nandagala wilayani
Ruangwa Machi 15.2019
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Bi. Fatu Omar kijijini
kwake Nandagala Machi 15.2019,
aliye soma nae darasa moja shule ya msingi
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo na mmoja wa Watoto waliopo kijijini
kwake Nandagala
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...