Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kusaidia Taifa Stars akitoa wito kwa wadau na wakazi wa Dar es Salaam wajitokeze kwa wingi kushangilia Taifa Stars wakiungana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhakikisha tunapata ushindi
 Msanii wa Filamu na Aliyekuwa Miss Tanzania, Wema Sepetu akitoa wito kwa Mashabiki na Team Wema Wote kufika kwa Wingi kuipa sapoti Taifa Stars .
 Mtaalamu wa Masuala ya Mitandao ya Kijamii,William Malecela Le Mutuz Super Brand akiwataka watu wote wanaotumia Mitandao ya kijamii kutumia simu zao kwa muda wa siku hizi tatu kutoa hamasa kwa ajili ya kuisapoti timu ya Taifa ya Tanzania.
 Mwenyekiti wa Bongo Movie Tanzania  Steve Nyerere akitoa wito kwa wapenzi wa Filamu kujitokeza kwa wingi

 Mchambuzi wa mpira wa Miguu, Eddo Kumwembe akizungumza na namna tunavyoweza kushinda.
 Mwandishi na mchora Vibonzo Maarufu Nchini, Nathan Mpangala (Kijasti) akieleza namna wachora Vibonzo walivyojipanga kuisadia Taifa Stars
Sehemu ya Waandishi wa Habari na Watu Maharufu walioshiriki mkutano wa kuhamasisha Taifa Stars Ishinde

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...