katibu
mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dokta Leonard Akwilapo
amesema hali ya uzalishaji wa chakula nchini inaelezwa kuwa ndogo,ambapo
takwimu za uzalishaji za mwaka 2015 zinaonesha kuwa ni asilimia tatu
nukta tatu kwa mujibu wa mpango wa Taifa ya maendeleo ya awamu ya
pili 2016/ 2017, 2020/ 2021 ambapo mpango wa serikali unatajwa
kupandisha kiwango hicho kufikia asilimia nne nukta sifuri ifikapo
kabla ya mwaka 2025…
Katika kuhakikisha malengo hayo yanafikiwa,Katibu mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo anatumia kumbukizi ya miaka kumi na sita ya kifo cha hayati Edward Moringe Sokoine kukiagiza chuo kikuu cha Sokoine (SUA ) kuhakikisha kinatumia wataalamu wake katika kufanikisha dhana hiyo.
“kwa pamoja tunakazi kubwa ya kufanya ili kufikia lengo hili kilimo chetu kinapaswa kukuzwa na kuwa cha kisasa Zaidi” alisema dkt akwilapo. Pia katibu mkuu amehaidi kutoa million 750 kutoka mradi wa kukuza ujuzi na stadi za kazi kwa ajili ya kuboresha kalakala ya idara uhandisi kilimo katika chuo hicho cha kilimo SUA..
Kwa upande wake makamu mkuu wa chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Profesa Raphael Chibunda amesema chuo kimeaandaa mdahalo kwa kuwakutanisha wanasanyansi na watu ambao wamefanya kazi pamoja na Sokoine ili kupata kwa kiina yale aliyofanya Marehemu huyo ambapo mada kuu ni Uzalishaji wa kilimo na Viwanda na Maendeleo ya Tanzania mabo ya kujifunza kutoka kwa sokoine na na siku zijazo..
“Tumewaalika wazee waliofanya kazi na hayati sokoine enzi za uhai wake na wametukubalia ambao watatupatia uzoefu wa namna ya utendaji wake enzi za uhai wake jambo litakalokuwa na tija kwetu” alisema Prof chibunda.. mwakilishi wa familia ya aliyekuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya kwanza hayati Edward Moringe Sokoine Bw. Ole Edward amesema kama familia wameanda wakfu ili kuendelea kuyaenzi yale aliyofanya marehemu Sokoine…
Hayati Edward Moringe Sokoine alifariki aprili 12 mwaka 1984 katika eneo la Wami sokoine wilayani Mvomero akitokae Bungeni katika majukumu ya kikazi na wiki ya kumbukikizi hiyo imeanza aprili 9 mwaka huu na inatarajiwa kufikia kilele aprili 12 mwaka huu na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Raisi mama samia Suluhu Hassani.
Katika kuhakikisha malengo hayo yanafikiwa,Katibu mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo anatumia kumbukizi ya miaka kumi na sita ya kifo cha hayati Edward Moringe Sokoine kukiagiza chuo kikuu cha Sokoine (SUA ) kuhakikisha kinatumia wataalamu wake katika kufanikisha dhana hiyo.
“kwa pamoja tunakazi kubwa ya kufanya ili kufikia lengo hili kilimo chetu kinapaswa kukuzwa na kuwa cha kisasa Zaidi” alisema dkt akwilapo. Pia katibu mkuu amehaidi kutoa million 750 kutoka mradi wa kukuza ujuzi na stadi za kazi kwa ajili ya kuboresha kalakala ya idara uhandisi kilimo katika chuo hicho cha kilimo SUA..
Kwa upande wake makamu mkuu wa chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Profesa Raphael Chibunda amesema chuo kimeaandaa mdahalo kwa kuwakutanisha wanasanyansi na watu ambao wamefanya kazi pamoja na Sokoine ili kupata kwa kiina yale aliyofanya Marehemu huyo ambapo mada kuu ni Uzalishaji wa kilimo na Viwanda na Maendeleo ya Tanzania mabo ya kujifunza kutoka kwa sokoine na na siku zijazo..
“Tumewaalika wazee waliofanya kazi na hayati sokoine enzi za uhai wake na wametukubalia ambao watatupatia uzoefu wa namna ya utendaji wake enzi za uhai wake jambo litakalokuwa na tija kwetu” alisema Prof chibunda.. mwakilishi wa familia ya aliyekuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya kwanza hayati Edward Moringe Sokoine Bw. Ole Edward amesema kama familia wameanda wakfu ili kuendelea kuyaenzi yale aliyofanya marehemu Sokoine…
Hayati Edward Moringe Sokoine alifariki aprili 12 mwaka 1984 katika eneo la Wami sokoine wilayani Mvomero akitokae Bungeni katika majukumu ya kikazi na wiki ya kumbukikizi hiyo imeanza aprili 9 mwaka huu na inatarajiwa kufikia kilele aprili 12 mwaka huu na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Raisi mama samia Suluhu Hassani.
Katibu
mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dokta Leonard Akwilapo kulia
akiwa na makamu mkuu wa chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Profesa
Raphael Chibunda wakitazama moja ya njia rafiki ya kkilimo ch
Katibu
mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dokta Leonard Akwilapo, wa
pili kutoka kushoto akiambatana na katibu tawala mkoa wa morogoro
cliford tandari katika ukaguzi wa miradi mbalimbali ya kilimo chuo cha
Sokoine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...